Yumo Humu Mwokozi

Yumo Humu Mwokozi
Alt TitleKaramuni Kwa Maringo
Performed byMbeya
CategoryEkaristia (Eucharist)
ComposerBernard Mukasa
Views26,212

Yumo Humu Mwokozi Lyrics

  1. Yumo humu, Mwokozi Yesu,
    Kwenye mzabibu, na ngano tamu
    Ni mpole ni mwema ni uzima

    { Waumini (haya), simameni,
    Polepole (tena), kwa imani,
    Jongeeni karamuni (mpate)
    mpate kumwonja Mwokozi Yesu } *2
  2. Ekaristi ni jina lake,
    Pamoja nasi, Mungu mwenyewe,
    Ndani yetu nasi ndani yake
  3. Alitoa, jioni ile,
    Kwa kumbukumbu, yake milele,
    Tule tunywe wote tuokoke6.
  4. Tugeuze, maisha yetu,
    Yakafanane, na meza hii
    Huruma, upendo msamaha

    * * *
  5. Alisema, twaeni mle,
    Twaeni mnywe kwa ukumbusho
    Ni mpole, ni mwema, ni mzima
  6. Ekaristi, katuachia,
    Chakula bora, tufike kwake,
    Ni mpole, ni mwema, ni mzima