Mungu ni Mwema
| Mungu ni Mwema | |
|---|---|
| Performed by | Kwaya ya Moyo Safi wa Bikira Maria, Unga Limited Arusha | 
| Album | Tufurahi | 
| Category | Tafakari | 
| Composer | Fr. Mkoba | 
| Views | 16,598 | 
Mungu ni Mwema Lyrics
- {Mungu ni mwema, ni mwema kwangu
 Mungu ni mwema, ni mwema kwangu
 Mungu ni mwema, Mungu ni mwema
 Mungu ni mwema ni mwema Kwangu } *2
- Ameniumba kwa sura yake,
 Kanileta hapa duniani
 Mungu ni mwema, Mungu ni mwema
 Mungu ni mwema ni mwema Kwangu
- Ananilinda mchana usiku
 Na siku zote yuko na mimi
 Mungu ni mwema, Mungu ni mwema
 Mungu ni mwema ni mwema Kwangu
- Ametmtuma mwanaye Yesu
 Kuja unikomboa dhambini
 Mungu ni mwema, Mungu ni mwema
 Mungu ni mwema ni mwema Kwangu
- Ametesa vikali sana
 Hata akafa msalabani
 Mungu ni mwema, Mungu ni mwema
 Mungu ni mwema ni mwema Kwangu
- Japo kweli mimi ni mdhambi
 Bali yeye anipenda mimi
 Mungu ni mwema, Mungu ni mwema
 Mungu ni mwema ni mwema Kwangu
 
  
         
                            