Mungu ni Mwema

Mungu ni Mwema
Performed byKwaya ya Moyo Safi wa Bikira Maria, Unga Limited Arusha
AlbumTufurahi
CategoryTafakari
ComposerFr. Mkoba
Views11,627

Mungu ni Mwema Lyrics

  1. {Mungu ni mwema, ni mwema kwangu
    Mungu ni mwema, ni mwema kwangu
    Mungu ni mwema, Mungu ni mwema
    Mungu ni mwema ni mwema Kwangu } *2

  2. Ameniumba kwa sura yake,
    Kanileta hapa duniani
    Mungu ni mwema, Mungu ni mwema
    Mungu ni mwema ni mwema Kwangu
  3. Ananilinda mchana usiku
    Na siku zote yuko na mimi
    Mungu ni mwema, Mungu ni mwema
    Mungu ni mwema ni mwema Kwangu
  4. Ametmtuma mwanaye Yesu
    Kuja unikomboa dhambini
    Mungu ni mwema, Mungu ni mwema
    Mungu ni mwema ni mwema Kwangu
  5. Ametesa vikali sana
    Hata akafa msalabani
    Mungu ni mwema, Mungu ni mwema
    Mungu ni mwema ni mwema Kwangu
  6. Japo kweli mimi ni mdhambi
    Bali yeye anipenda mimi
    Mungu ni mwema, Mungu ni mwema
    Mungu ni mwema ni mwema Kwangu