Kanisa la Bwana

Kanisa la Bwana
Performed by-
CategoryFaith
Views7,334

Kanisa la Bwana Lyrics

  1. Kanisa la Bwana litasimama
    Kanisa la Bwana litasimama
    Waktwaati wote wa majaribu
    Wakati wote wa hukumu

  2. Kwa kuwa limejengwa kwa mwamba imara
    Limejengwa kwa mwamba imara, imara
    Hata mawimbi mabaya yakivuma
    Kanisa la Bwana litasimama
  3. Ndani ya mwamba huo nitajificha
    Wakati adui anaponivamia
    Nitajificha penye utakatifu
    Ndani ya nyumba ya Mungu wa milele
  4. Kwa kuwa limelindwa na roho wa Mungu,
    Limelindwa na roho wa Mungu, wa Mungu
    Hata shetani aje akinguruma
    Kanisa la Bwana litasimama
    Hata shetani aje kwa vishindo
    Kanisa la Bwana litasimama
    Hata shetani aje kwa ujanja
    Kanisa la Bwana litasimama,
    Daima na milele