Nyamazeni Sasa
   
    
     
         
          
            Nyamazeni Sasa Lyrics
 
             
            
- {He he! he he! Nyamazeni sasa mkae kimya,
 (nyamazeni) nyamazeni sasa mkae kimya! }*2
 Nendeni mkajifunze upendo nenda
 (nenda ndugu) Kapunguzeni maneno mengi
 (mengi tena) Acheni ufarisayo kando
 (kando Kisha) Mkajifunze upendo nenda
- Kulitajataja jina la Yesu, na kutolitaja taja kabisa
 Yote ni sawa kabisa mmmh mmh
 Lililo la muhimu, upendo,
 Kuvumilia yote, upendo
 Kuamini yote, upendo,
 Kutumaini yote, upendo
- Kusudi watu wasiwatambue kwa yale mnayosema
 Kwa yale maneno, bali kwa matendo tu
 Kwa kuwathamini na kuwajali wenzenu daima *2
 Kwa kuwakumbuka wale walio wadogo na wanyonge
 Kwa kuwakumbuka wale walio wadogo na!
 he! he! upendo! *3 he! upendo