Kristu Pasaka Wetu (Sekwensia)
| Kristu Pasaka Wetu (Sekwensia) |
|---|
| Performed by | - |
| Category | TBA |
| Views | 13,329 |
Kristu Pasaka Wetu (Sekwensia) Lyrics
- Kristu Paska yetu, amechinjwa sadaka;
tuile karamuye, na twimbe Aleluya
- Aliyejitoa, sadaka ya Paska,
wakristu wamtolee, sadaka ya Sifa.
- Mwanakondoo aliwakomboa kondoo, Kristu asiye na dhambi
amewapatanisha na Baba, watu wenye dhambi.
- Mauti na uzima, vimeshindana ajabu;
Mkuu wa uzima aliyekufa, atawala mzima.
- Utuambie Maria, uliona nini njiani?
Niliona kaburi la Kristu Mzima,
na Utukufu wa aliyefufuka.
- Mashahidi ni Malaika,
Leso ya uso na mavazi
Kristu tumaini langu kafufuka,
awatangulia Galilaya.
- Twajua Kristu amefufuka, kweli katika wafu
Ewe Mfalme mshindaji, Utuhurumie.
- Amina Aleluya, Amina Aleluya *2