Ataniita
| Ataniita | |
|---|---|
| Performed by | - |
| Category | Kwaresma na Toba (Lent & Repentance) |
| Composer | Fr. G. F. Kayeta |
| Views | 8,220 |
Ataniita Lyrics
{Ataniita nami nitamwitikia,
nitamwokoa, na kumtukuza } *2- Nitakuwa naye taabuni,
nitamwokoa na kumtukuza - Kwa siku nyingi nitamshibisha,
Nami nitamwonyesha wokovu wangu. - Kwa kuwa amekaza kunipenda,
Nitamwokoa; na kumweka mahali palipo juu. - Kwa kuwa amenijua jina langu,
Ataniita nami nitamwitikia.