Tutawapeni Mapesa

Tutawapeni Mapesa
Alt TitleHaya Enyi Makamanda
Performed bySt. Charles Lwanga Yombo Dovya Dsm
AlbumKafufuka Mwokozi
CategoryPasaka (Easter)
ComposerA. S. Haule
Views7,509

Tutawapeni Mapesa Lyrics

  • Haya enyi makamanda, leteni mchango wenu *2
    Nguvu ya hoja itawa-ale,
    Hawa walinzi wameleta habari kuwa kweli amefufuka, amefufuka *2
    Sikieni mimi natoa hoja ya nguvu, hoja yangu kweli ya nguvu
    Jambo hili likisikika, likisikika katika Uyahudi
    Na Samaria itakuwaje aibu hiyo elezeni *2

  • Hivyo ninyi walinzi, seme-ni
    Wanafunzi wake wamemwiba Bwana wao *2
    Sisi tulipokuwa tumelala *2
  • { (Tutawapeni mapesa) tutawapeni mapesa,
    Tutawajaza mapesa, mapesa mtajazwa } *2
    Na msiogope kwa ajili ya hilo * 2
    { Wakuu wa nchi wakisikia tutaongea nao
    Wakuu wa nchi hao tutasema nao } *2
    a. Siku ile ya kufufuka Bwana, maaskari walitetemeka
    Wakaenda kwa upesi kumwona jemedari mkuu kumpasha habari
  • b. Jemedari akafadhaika akawaita watu pamoja kwa shauri;
    Wakafanya shauri juu ya jambo hili lipate sura, sura mpya.
  • c. Dunia yetu siku hizi yafananaje na haya mambo yaliyotokea;
    Ukweli unapindishwa ili lile la uongo liwe kweli
Also recorded by St. Cecilia Arusha