Kimulimuli

Kimulimuli
Performed bySt. Joseph the Worker Ngokolo Shinyanga
AlbumNjooni Tumsifu Mungu
CategoryTafakari
ComposerF. E. Nyanza
Views3,268

Kimulimuli Lyrics

  • Kimulimuli chamulika pande zote za dunia
    Ngurumo zake zasikika, zasikika kote
    ona matetemeko ya ardhi, hata na vita
    pia na njaa nayo magonjwa yasipona
    Tuyakumbuke yale yaliyotabiriwa na manabii
    ya kuwa siku za mwisho yatatokea haya
    Tujiweke tayari atakapokuja Bwana wa mavuno
    Mbingu na nchi zitapita
    Neno la Mungu litadumu
    Tujiweke tayari atakapokuja Bwana wa mavuno
    Tujiweke tayari
    {Tujitakase, tujitakase, tujiweke tayari
    Tujitahidi, tubadili mwenendo wa maisha
    Kwa kuwa hatujui siku wala saa }* 2
  • Tumuombe sana Mungu arudishe huruma yake
    Tuweze kushinda haya yote