Sauti Inavuma
Sauti Inavuma Lyrics
Sauti inavuma (kulia), sauti inavuma (kushoto)
Sauti inavuma pande zote zinatikisika ulo
Dunia inanesa (kabisa), mbingu zinafurahi (lazima)
Watumwa wako huru, wanaimba na kumshukuru Mungu
Hii ni siku yetu, ya kubadilika na kutakata
Kuvua utu wa kale, na kuvaa, kuvaa utu mpya leo
Kwani mwalimu wetu, walimning`iniza na kumuua
Kaachana na kaburi ni mzima kama alivyokuwa mwanzo
Tunaimba aleluya, eeh eh aleluya,
Tunaimba aleluya, tunamshukuru aliye juu
Ngoma tunamchezea, tunamchezea,
Vigelegele vya nguvu vinaambatana na makofi
Tunapiga makofi makofi, makofi tu.
- Ya kibinadamu kayaishi kama, kama vile tulivyo sisi (kabisa)
Na halafu akabadilika akavaa mwili wa utukufu
- Lengo lake atuelimishe hivi, hivi kabisa tulivyo sisi (kabisa)
Tujitahidi kubadilika na kuvaa hali ya utukufu
- Tukubali maumivu yote tena tujikane bila kusaza (fahali)
Makusudi tuzisalimishe hizi nafsi zetu kwa Mungu wetu