Kanisa la Kitume

Kanisa la Kitume
Performed byKwaya Kuu ya St. Cecilia Arusha
AlbumKando ya Mito
CategoryChurch
ComposerJohn Mgandu
Views6,542

Kanisa la Kitume Lyrics

  1. Kanisa la kitume (kanisa la kitume)
    Kwa sababu Roho Mtakatifu aliwashukia
    { Wale wote waliokuwapo , wale wote waliokuwepo
    wakati wa pentekoste wakati wa pentekoste } *2

  2. Asili ya kanisa letu limetoka kwa mitume
    Na limeendelea kukua tangu wakati huo
  3. Huu muungano na mitume unadokeza kwa kanisa
    Kuwa mwaminifu kwa mafundisho
    Yaliyofunuliwa na Yesu na mitume kwetu sisi
  4. Roho Mtakatifu ni mjumbe wa mitume na kanisa
    Atakuwa kati yao kila wakati
    Ni mwalimu wa habari njema aliyoihubiri Yesu