Asante Mungu Mwenyezi

Asante Mungu Mwenyezi
Performed bySt. Veronicah Kariakoo
AlbumWalinizunguka Kama Nyuki
CategoryThanksgiving / Shukrani
ComposerVictor Aloyce Murishiwa
Views6,945

Asante Mungu Mwenyezi Lyrics

  1. Asante Mungu Mwenyezi, asante (asante)
    Muumba mbingu na nchi, asante
    { Nakushukuru Mungu wangu kwa mema yako yote (leo)
    Milele hata milele nitaimba sifa zako (mimi)
    Nitaimba sifa zako kwa shangwe } * 2

  2. Kwa wingi wa fadhili zako nakushukuru Bwana
    Kwa wingi wa rehema zako asante Mungu wangu
  3. Umeniumba mimi Bwana ukanipa akili
    Ninakushukuru ee Mungu kwa moyo wangu wote
  4. Nitaziimba sifa zako katika kusanyiko
    Nitatanganza Neno lako milele na milele