Bwana Yesu Amenipigania
Bwana Yesu Amenipigania | |
---|---|
Choir | Same KMJ |
Album | Watikisa Kibuyu |
Category | Zaburi |
Composer | Augustine Rutta |
Bwana Yesu Amenipigania Lyrics
Bwana Yesu amenipigania, dhidi ya jeshi la shetani lote
{ Farasi na wapanda farasi wake,
Amewatupa baharini na silaha zao wameangamia
Nami nitainuka leo, nikamshangilie jemedari mkuu Bwana wa vita } * 2
1. Adui shetani alitamba akirandaranda popote
Sasa ametupwa baharini na jeshi lake lote
Hebu fikiri Bwana Yesu Getsemani na Kalvari
Alimshinda kwa msalaba na sisi tumekombolewa
2. Ulipolala kwenye mauti alitufungulia mlango
Alitutoa kule kuzimu akatuweka pa salama
Msalaba wetu ndiyo kinga silaha nayo ngao yetu
Tukapigane kwa ujasiri tupate kuingia kwake
Favorite Catholic Skiza Tunes
SMS the Skiza ID to 811 to get the song as your Skiza tune.
Title | SKIZA ID |
Cha Kutumaini Sina | 5814855 |
Roho Yangu na Ikuimbie | 5814859 |
Nikupe Nini Mungu Wangu | 7482438 |
Sasa Wakati Umefika | 7482439 |
Nitakwenda Mimi Mwenyewe | 7482440 |
Zaeni Matunda Mema | 5814860 |
Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu Yetu | 7482444 |
Huniongoza Mwokozi | 5814856 |
Utukuzwe Ewe Baba | 7482441 |
Tazama Tazama | 7482442 |