Bwana Alitutendea Mambo Makuu
Bwana Alitutendea Mambo Makuu | |
---|---|
Choir | St. Cecilia Mirerani |
Album | Upendo na Amani |
Category | Zaburi |
Composer | Deo Mhumbira |
Reference | Zab 126 |
Musical Notes | |
Timesignature | 3 8 |
Musickey | A Major |
Notes | Open PDF |
Bwana Alitutendea Mambo Makuu Lyrics
Bwana alitutendea mambo makuu
Bwana alitutendea mambo makuu
tulikuwa tukifurahi tukifurahi
(Tulikuwa tukifurahi) tulikuwa tukifurahi
Alitutendea mambo makuu
Bwana alitutendea mambo makuu
Tulikuwa tukifurahi tukifurahi
(Tulikuwa tukifurahi) tulikuwa tukifurahi
1. Bwana alipowarejesha mateka wa sayuni
Tulikuwa kama waotao ndoto
Ndipo kinywa chetu kilipojaa kicheko
Na ulimi wetu kelele za shangwe
2. Ndipo waliposema katikati ya mataifa
Bwana amewatendea mambo makuu
Bwana alitutendea mambo makuu
Tulikuwa tukifurahi
3. Bwana uwarejeshe watu wetu waliofungwa
Kama vijito vya kusini
Wale watu wapandao kwa machozi
Watavuna kwa kelele za shangwe
Favorite Catholic Skiza Tunes
SMS the Skiza ID to 811 to get the song as your Skiza tune.
Title | SKIZA ID |
Cha Kutumaini Sina | 5814855 |
Roho Yangu na Ikuimbie | 5814859 |
Nikupe Nini Mungu Wangu | 7482438 |
Sasa Wakati Umefika | 7482439 |
Utukuzwe Ewe Baba | 7482441 |
Nitakwenda Mimi Mwenyewe | 7482440 |
Zaeni Matunda Mema | 5814860 |
Huniongoza Mwokozi | 5814856 |
Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu Yetu | 7482444 |
Tazama Tazama | 7482442 |