Bwana Ndiye Mchungaji Wangu
| Bwana Ndiye Mchungaji Wangu |
|---|
| Performed by | St. Maurus Kurasini |
| Album | Hubirini Kwa Kuimba |
| Category | Zaburi |
| Composer | John Mgandu |
| Views | 12,953 |
Bwana Ndiye Mchungaji Wangu Lyrics
{ [ s ] Bwana ndiye mchungaji wangu
[ w ] Bwana ndiye mchungaji wangu
Sitapungukiwa na kitu * 3 } * 2
- Bwana ndiye mchungaji wangu, sitapungukiwa na kitu
Katika malisho ya majani mabichi hunila-za
Kando ya maji ya utulivu hu-niongoza
- Huniuhuisha nafsi yangu, na kuniongoza
Katika njia za haki kwa ajili ya jina lake
Nijapopita kati ya bonde la uvuli wa mauti, sitaogopa mabaya
- Huandaa meza mbele yangu, machoni pa watesi wangu
Hunipaka mafuta kichwani kichwani mwangu
Na kikombe kikombe changu ki-nafurika
- Kwa hakika wema na fadhili zitanifuata
Siku zote za maisha yangu maisha yangu
Nami nitakaa nyumbani mwa Bwa-na milele