Hubirini kwa Kuimba

Hubirini kwa Kuimba
Performed bySt. Maurus Kurasini
AlbumHubirini Kwa Kuimba
CategoryZaburi
ComposerJoseph Makoye
Views7,697

Hubirini kwa Kuimba Lyrics

  1. Hubirini kwa sauti ya kuimba
    Tangazeni tangazeni haya,
    Yatamkeni mpaka mwisho wa dunia
    Semeni Bwana amelikomboa taifa lake
    Aleluya, aleluya, aleluya, Aleluya

  2. Mpigieni Mungu kelele za shangwe nchi yote
    Imbeni tukufu wa jina lake
  3. Tukuzeni sifa zake, mwambieni Mungu
    Matendo yako yanatisha kama nini
  4. Atukuzwe Baba na Mwana na Roho Mtakatifu
    Kama mwanzo na sasa na siku zote, na milele amina