Ee Bwana Unihukumu
Ee Bwana Unihukumu | |
---|---|
Choir | - |
Category | Zaburi |
Composer | Joseph Makoye |
Ee Bwana Unihukumu Lyrics
{Ee Bwana unihukumu unitetee kwa taifa lisilo haki
Uniokoe na mtu wa hila asiye haki
Kwa kuwa wewe ndiwe Mungu uliye nguvu zangu } * 2- Niletewe nuru yako na kweli yako ziniongoze
Zinifikishe kwenye mlima wako mtakatifu, na hata maskani zako - Hivyo nitakwenda madhabahuni kwa Mungu
Kwa Mungu aliye furaha yangu na shangwe yangu - Nitakusifu kwa kinubi, ee Mungu, Mungu wangu