Bwana Ndiye Mchungaji

Bwana Ndiye Mchungaji
Performed bySt. Monica Lower Kabete Campus UoN
AlbumUwe Nami Bwana
CategoryZaburi
ComposerJohnBosco Hosea
Views4,846

Bwana Ndiye Mchungaji Lyrics

  1. Bwana ndiye mchungaji wangu, Sitapungukiwa (mimi)
    Katika majani mabichi Bwana hunilaza
    (Kando ya maji yenye utulivu huniongoza x2)

  2. Huihuisha nafsi yangu na kuniongoza
    Kwenye njia za haki, kwa jina lake x2
  3. Umeandaa meza mbele yangu ee Bwana
    Umeandaa machoni pa watesi wangu x2
  4. Umenipaka mafuta kichwani pangu Bwana
    Kikombe changu kimejaa kinafurika x2
  5. Wema wako fadhili zako zitanifuata,
    Nami nitakaa nyumbani mwa Bwana millele x2