Cha Kutumaini Sina
| Cha Kutumaini Sina | |
|---|---|
![]() | |
| Performed by | Sauti Tamu Melodies |
| Album | Nyimbo za Sifa |
| Category | Ekaristia (Eucharist) |
| Composer | Edward Mote |
| Video | Watch on YouTube |
| Views | 296,205 |
Cha Kutumaini Sina Lyrics
- Cha kutumaini sina, ila damu yake Bwana
Sina wema wa kutosha, dhambi zangu kuzioshaKwake Yesu nasimama, ndiye Mwamba ni salama
Ndiye Mwamba ni salama, ndiye Mwamba ni salama - Damu yake na sadaka, nategemea daima
Yote chini yakiisha, Mwokozi atanitosha. - Njia yangu iwe ndefu, Yeye hunipa wokovu
Mawimbi yakinipiga, nguvu zake ndiyo nanga - Nikiitwa hukumuni, rohoni nina amani
Nikivikwa haki yake, sina hofu mbele yake
