Kinywa Changu Kitasimulia

Kinywa Changu Kitasimulia
Performed by-
CategoryZaburi
ComposerAlex Nkanda
Views4,911

Kinywa Changu Kitasimulia Lyrics

  1. { Kinywa changu kitasimulia haki
    na wokovu wako,
    kitasimulia haki na wokovu wako } *2

  2. Nimekukimbilia ewe Bwana nisiaibike milele
  3. Ndiwe peke yako kinga langu,
    unikinge Bwana na mkorofi.
  4. Nimekukimbilia wewe Bwana nisiabike milele
  5. Mikononi mwako Bwana niokoe,
    unisikie Bwana, uniokoe