Leo Tuna furaha

Leo Tuna furaha
Performed by-
CategoryHarusi
Views2,986

Leo Tuna furaha Lyrics

  1. Leo tuna furaha nyingi sana,
    kwenye harusi ya wazazi wetu
    Yaliyobaki na tuseme nini,
    tuwape hongera kwa kazi yao

    Pete mikononi mwao,
    furaha nyusoni mwao
    Bwana Mungu twakuomba,
    hawa wawili wasiachane

  2. Hongera hiyo hongera kwa wote,
    mliyoweza kufika karibu
    Kwa vile mmeshashuhudia,
    harusi ya hawa wazazi wetu
  3. Yesu naye alikua kanani,
    kwenye harusi kubwa sana sana
    Alifurahi kuona wawili,
    wakiagana kuishi pamoja