Fadhili Za Bwana

Fadhili Za Bwana
Performed bySt. Joseph Cathedral Dar-es-Salaam
CategoryZaburi
Views3,495

Fadhili Za Bwana Lyrics

  1. { Fadhili za Bwana zina wamchao
    Tangu milele hata milele } *2

  2. Ee nafsi yangu umhimidi Bwana
    Naam vyote vilivyo ndani yangu
    Vilihimidi Jina lake tukufu
  3. Akusamehe maovu yako yote
    Akuponye magonjwa yako yote
    Aukomboa uhai wako na kaburi
  4. Bwana ndiye afanyaye mambo ya haki
    Na hukumu kwa wote walioonewa
    Alimjulisha Musa njia zake
  5. Bwana amejaa huruma na neema
    Haoni hasira ni mwingi wa fadhili
    Hakututenda sawa na hatia zetu