Wateule wa Bwana

Wateule wa Bwana
Performed byShirikisho la Kwaya Katoliki Dsm (Shikwaka)
AlbumKaribu Tanzania
CategoryEkaristia (Eucharist)
ComposerStanslaus Mujwahuki
Views7,480

Wateule wa Bwana Lyrics

  1. {Wateule wa Bwana, Karibuni mezani pake, njooni
    Bwana awaalika enyi wenye moyo safi} *2

    {Amewaandalia, leo, karamu takatifu
    Mwili na damu yake chakula safi cha roho} *2

  2. Kwanza tuzitakase nafsi zetu wenyewe
    Tukisha kutakasa, tuje mbele zake
  3. Karibuni mezani, Bwana awaalika
    Kwenye karamu yake, enyi wenye moyo safi
  4. Na tule mwili wake, na tunywe damu yake
    Ndicho chakula bora, cha rohoni karibuni