Furaha
Furaha | |
---|---|
Choir | - |
Category | Thanksgiving / Shukrani |
Composer | Bernard Mukasa |
Source | Tanzania |
Furaha Lyrics
1. Tunakuwa tunasinzia hatujitambui
Tunaamka tunajikuta tungali hai
2. Mawio mpaka macheo huambatana nasi
Usiku nguzo ya moto na mchana ya wingu
3. Kwenye machozi muda wote tunalia naye
Anatuinua mkono tukacheka naye
4. Tunapoondokewa na ndugu zetu wachache
Anatupa tumaini kuwapokea kwake
5. Tunajivuna kwa sababu tunaye Mungu
Tunamuomba awe nasi daima milele
Tunaamka tunajikuta tungali hai
Furaha furaha furaha furaha
Bwana Yesu furaha shangwe na chereko
na furaha, furaha furaha sana
2. Mawio mpaka macheo huambatana nasi
Usiku nguzo ya moto na mchana ya wingu
3. Kwenye machozi muda wote tunalia naye
Anatuinua mkono tukacheka naye
4. Tunapoondokewa na ndugu zetu wachache
Anatupa tumaini kuwapokea kwake
5. Tunajivuna kwa sababu tunaye Mungu
Tunamuomba awe nasi daima milele
Recorded also by St. Don Bosco Kyaani Mombasa
Favorite Catholic Skiza Tunes
SMS the Skiza ID to 811 to get the song as your Skiza tune.
Title | SKIZA ID |
Cha Kutumaini Sina | 5814855 |
Roho Yangu na Ikuimbie | 5814859 |
Nikupe Nini Mungu Wangu | 7482438 |
Sasa Wakati Umefika | 7482439 |
Nitakwenda Mimi Mwenyewe | 7482440 |
Zaeni Matunda Mema | 5814860 |
Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu Yetu | 7482444 |
Huniongoza Mwokozi | 5814856 |
Utukuzwe Ewe Baba | 7482441 |
Tazama Tazama | 7482442 |