Furaha

Furaha
Performed by-
CategoryThanksgiving / Shukrani
ComposerBernard Mukasa
Views5,744

Furaha Lyrics

  1. Tunakuwa tunasinzia hatujitambui
    Tunaamka tunajikuta tungali hai

    Furaha furaha furaha furaha
    Bwana Yesu furaha shangwe na chereko
    na furaha, furaha furaha sana

  2. Mawio mpaka macheo huambatana nasi
    Usiku nguzo ya moto na mchana ya wingu
  3. Kwenye machozi muda wote tunalia naye
    Anatuinua mkono tukacheka naye
  4. Tunapoondokewa na ndugu zetu wachache
    Anatupa tumaini kuwapokea kwake
  5. Tunajivuna kwa sababu tunaye Mungu
    Tunamuomba awe nasi daima milele
Recorded also by St. Don Bosco Kyaani Mombasa