Furaha
Furaha | |
---|---|
Performed by | - |
Category | Thanksgiving / Shukrani |
Composer | Bernard Mukasa |
Views | 6,175 |
Furaha Lyrics
- Tunakuwa tunasinzia hatujitambui
Tunaamka tunajikuta tungali haiFuraha furaha furaha furaha
Bwana Yesu furaha shangwe na chereko
na furaha, furaha furaha sana - Mawio mpaka macheo huambatana nasi
Usiku nguzo ya moto na mchana ya wingu - Kwenye machozi muda wote tunalia naye
Anatuinua mkono tukacheka naye - Tunapoondokewa na ndugu zetu wachache
Anatupa tumaini kuwapokea kwake - Tunajivuna kwa sababu tunaye Mungu
Tunamuomba awe nasi daima milele
Recorded also by St. Don Bosco Kyaani Mombasa