Bwana Aliniambia

Bwana Aliniambia
Performed by-
CategoryTBA
ComposerJohn Mgandu
Views3,143

Bwana Aliniambia Lyrics

  1. {Bwana aliniambia, ndiwe mwanangu,
    mimi leo nimekuzaa leo, nimekuzaa leo }* 2

  2. Wafalme wa dunia wanajipanga na wakuu,
    Wanafanya shauri pamoja juu ya Masiha wake.
  3. Yeye anayeketi huko mbinguni anacheka,
    Naye Bwana anawafanyia dhihaka hao wafalme.
  4. Bwana aliniambia ndiwe mwana wangu,
    Mimi nimekuzaa leo, nimekuzaa leo.
  5. Atukuzwe Baba na Mwana na Roho Mtakatifu,
    Kama mwanzo, sasa na siku zote milele amina.