Bwana Amepaa Mbinguni

Bwana Amepaa Mbinguni
Performed by-
CategoryKupaa kwa Bwana (Ascension)
Views5,532

Bwana Amepaa Mbinguni Lyrics

  1. Bwana amepaa Mbinguni aleluya (kweli)
    Bwana amepaa kwa shangwe aleluya

  2. Ninapaa kwenda kwa Baba yangu na Baba yenu
    Kwa Mungu wangu na Mungu wenu
  3. Mioyo yenu isihuzunike
    kwa maana ninakwenda kwa Baba
  4. Ninakwenda uwatengezea mahali
    Nitakwenda tena kuwachukua
  5. Ili mpate kuwapo
    nilipo mimi
  6. Kutoka Mbinguni, atakuja Mwokozi tunayemtazamia
    Ndiye Bwana Yesu Kristu
  7. Bwana atageuza, miili yetu ya unyonge
    Upate kufanana na mwili wake na utukufu
  8. Kristu alikufa
    kwa ajili yetu akafufuka
  9. Amekaa kuume kwa Baba
    Ndiye anaye tuombea