Kiapo cha Ubatizo

Kiapo cha Ubatizo
Performed by-
CategoryUbatizo
ComposerJoseph Makoye
Views8,962

Kiapo cha Ubatizo Lyrics

  1. [ t ] Kiapo cha uba-tizo wangu,
    kutoa si mimi ni wao
    Ni mzima nayo akili yangu,
    ninaapa mwenyewe leo

    { Ninaapa, ninaapa,
    ninaapa mwenyewe leo,
    Ninaapa mwenyewe leo } *2

  2. Naapa Yesu ndiye Mwokozi,
    sadaka mlipa le-tu deni
    Mwenyewe Mwana wa Mwenye-zi,
    naapa ni yangu imani
  3. Naapa kwa Mungu na kanisa,
    ni mtoto tangu ubatizo
    Ya jana nayatubu makosa,
    naapa ni mtu mpya si mchezo