Aleluya Bwana Amefufuka
   
    
     
         
          
            Aleluya Bwana Amefufuka Lyrics
 
             
            
- Aleluya aleluya aleluya aleluya
 Bwana (leo) Bwana amefufuka *2
- Yeye ni Bwana wa Mbingu na dunia - amefufuka
 Ametundikwa msalabani kwa ajili yetu - amefufuka
- Katikati yao wanyang'anyi alisulubiwa - amefufuka
 Hata mijeledi alipigwa kwa ajili yetu - amefufuka
- Yeye ni nuru ya ulimwengu toka kwake Baba - amefufuka
 Amekuja auleta mwanga kwetu wanadamu - amefufuka
- Amedhihirisha na upendo wake Mungu kwetu - amefufuka
 Nasi tumpokee mioyoni mwetu wanadamu - amefufuka