Leo Yatimizwa

Leo Yatimizwa
Performed by-
CategoryNoeli (Christmas Carols)
Views9,619

Leo Yatimizwa Lyrics

  1. Leo yatimizwa maneno ya kale
    Masihi kazaliwa, heko kwake
    Isaya alisema Bikira atamzaa
    (nasi) tufurahi na kumwimbia atokaye Mbinguni
    Shangwe kuu tumpokeapo mgeni
    Mwana wa Mungu Kristu
    (tumshangilie) heko heko kwa bikira
    Na mwanaye Yesu Kristu na tumshangilieni

  2. Herode upoe moto, usipayuke bure
    Yeye mfalme wa Mbinguni hana haja na wako
  3. Mwenye dhambi futa jasho takubebea mzigo
    Damu itafanya kazi, dhambi tatusamehe