Ni Nani Hawa

Ni Nani Hawa
Performed by-
CategoryEkaristia (Eucharist)
ComposerD. Kalolela
Views13,685

Ni Nani Hawa Lyrics

  1. Ni nani hawa watembeao kwa furaha
    Wakiijongea altare
    Ni wateule wake Bwana walioalikwa kwa karamu

  2. Yakupasa ujiulize ndugu una kikwazo gani
    kinachokufanya uiogope meza ya Bwana
  3. Hebu watazame wenzako wanavyokwenda kwa furaha
    Wakiijongea meza ya Bwana kwa karamu
  4. Bwana Yesu ameutoa mwili wake kuwa chakula
    Na damu yake kaitoa kwetu kama kinywaji