Una Heri Una Heri
| Una Heri Una Heri | |
|---|---|
| Performed by | St. Cecilia Mwenge Dsm |
| Album | Nakupenda Maria |
| Category | Bikira Maria |
| Composer | P. F. Mwarabu |
| Views | 6,154 |
Una Heri Una Heri Lyrics
Una heri una heri Mama Bikira Maria *2
- Mama wa mwokozi, Maria, Mama Bikira Mtakatifu,
Mama bora mwenye huruma, 'takuheshimu siku zote Maria - Bikira uliyekingiwa, mbarikiwa Mama Maria
Bikira usiye na doa, 'takutukuza daima Maria - Uliyebarkiwa sana, kuliko wanawake wote
Uliyejaa neema nyingi, tunakusifu Mama yetu Maria - Mama mwenye usafi wa moyo Mama Bikira mpendelevu
Mama Malkia mwaminifu, una heri kweli milele Maria