Bikira Fumbo la Waridi

Bikira Fumbo la Waridi
Performed by-
CategoryBikira Maria
Views3,534

Bikira Fumbo la Waridi Lyrics

  1. Bikira fumbo la waridi (kioo cha haki)
    (Bikira Amin) tuombee neema
    Mbinguni (sisi) Kristu Mwanao atupeleke

  2. Na twende kwa Mama Maria (sote)
    Twende tupate neema tuishi kwa Baba milele
  3. Mama wa Muumba wetu (kweli)
    Bikira mwenye heshima aah tuombee dhambi tutubu
  4. Bikira mwenye sifa aah (kweli)
    Usiye na doa aah tuombee tu wakosefu
  5. Malkia wa mabikira (kweli)
    Waridi lenye fumbo ooh tuombee wakosefu
  6. Bikira Mtakatifu (kweli)
    Mama Mpendelevu twalia Mwanao Yesu