Bwana Alikuwa Tegemeo

Bwana Alikuwa Tegemeo
Performed bySt. Ambrose Kikuya Arusha
CategoryZaburi
ComposerAjabu J. Ndahitobhotse
Views3,535

Bwana Alikuwa Tegemeo Lyrics

  1. {Bwana alikuwa - tegemeo langu ooh aee
    Bwana alikuwa tegemeo langu ooh aee } *2
    { Akanitoa (oh oh ) akanipeleka (pale) panapo nafasi
    Aee ooh ooh Akaniponya (mimi)
    kwa kuwa aipendezwa nami } *2

  2. Bwana alinitendea sawasawa na haki yangu
    Maana nimezishika njia zake
    wala sikumuasi Mungu
  3. Nimeshika maagizoye,
    Sikuacha na amri zake
    Mbele za Bwana sikuwa na hatia
    Nikainua wema wangu mbele zake
  4. Atukuzwe Baba na Mwana
    Naye Roho Mtakatifu
    Kama mwanzo na sasa na siku zote
    Na milele milele yote, amina