Aleluya Mimi Ndimi Chakula
| Aleluya Mimi Ndimi Chakula | |
|---|---|
| Performed by | Kwaya ya Moyo Safi wa Bikira Maria, Unga Limited Arusha | 
| Album | Asante Mungu | 
| Category | Ekaristia (Eucharist) | 
| Composer | Ajabu J. Ndahitobhotse | 
| Views | 4,964 | 
Aleluya Mimi Ndimi Chakula Lyrics
- Aleluya aleluya, mimi ndimi chakula
 Chakula chenye uzima
 Mtu akila chakula, akila chakula hiki
 ataishi milele
 Aleluya - aleluya, aah, aleluya
 Aleluya, aleluya aleluya
- Twaeni twaeni aee huu ndio mwili ae
 Mpate uzima wa milele, wa milele
- Akatwaa kikombe aee, akashukuru aee
 Akawapa wakinywe wote, wakinywe wote
- Tumshangilie aee, tupige makofi aee
 Tukampokee huyu Yesu, mtetezi wetu//hitimisho//
 Huyu ndiye Yesu Kristu hoiye, haya haya
 Tumpokee kwa upendo hoiye, haya haya
 Huyu ndiye Yesu Kristu hoiye, haya haya
 Tumpokee kwa upendo hoiye, haya haya
 hoiye Yesu haya haya
 ni shangwe ni shangwe
 Hakika Yesu ndiye Bwana, mwana wa Mungu
 Ndiye anayetufungulia mbingu
 aee ee ee
 Aleluya - aleluya, aah, aleluya
 Aleluya, aleluya aleluya
 
  
         
                            