Ndio Mkate wa Malaika
| Ndio Mkate wa Malaika | |
|---|---|
| Performed by | St. Antony of padua Magomeni |
| Album | Twende Mezani |
| Category | Ekaristia (Eucharist) |
| Composer | Joseph Makoye |
| Views | 5,234 |
Ndio Mkate wa Malaika Lyrics
Ndio mkate wa malaika, chakula cha wasafiri
Wenye raha ya milele, sio mkate wa kafiri- Alhamisi Yesu Mwokozi, alisema kwa sauti
Huu ndio mwili wangu, haya maneno magumu - Vile vile Mwokozi wetu, alisema kama mwanzo
Hii ndiyo damu yangu, tufanye hivyo daima - Vyote ni kwa ajili yetu, ni kwa ajili ya wote
kwa ondoleo la dhambi, twatubu makosa yetu - Twakuomba Yesu Mwokozi, utupe chakula chetu
tukiwa na moyo safi, utushibishe milele