Tumealikwa na Bwana

Tumealikwa na Bwana
Performed by-
CategoryEkaristia (Eucharist)
Views5,278

Tumealikwa na Bwana Lyrics

  1. Tumealikwa na Bwana (ooh)
    twende tule mwili wake (meza)*2
    Ya Bwana tandikwa (ooh)
    twende tunywe damu yake *2
    Natwende tule mwili wake na tunywe damu yake
    (All) Meza ya Bwana imetandikwa kwa nguo safi tuleni *2

    [t] Ooh ooh ooh tumealikwa sasa *2
    Twende mwa altarini
    Twende tule mwili wake
    Twende tunywe damu yake
    Yesu anatungonjea
    Twende tukaburundike
    Ooh ooh ooh tumealikwa sasa *2

    |b| tumealikwa sasa *2
    |t|tumealikwa sasa *2
    |a| tumealikwa sasa *2
    |s| tumealikwa sasa *2
    Ooh ooh ooh tumealikwa sasa *2
  2. (Chakuuu) chakula toka mbinguni
    (Chakula) chatuletea uzima
    (sote) tunapojazwa upendo
    (Wake Bwana) tuwatumikie wanzetu *2