Aiyelele

Aiyelele
Performed by-
CategoryGeneral
Views5,761

Aiyelele Lyrics

  1. Aiyelele iyele iyele iyele iyele *2

  2. Umeteuliwa, kwa kazi ya mungu- iyelele
    Umebarikiwa, kwa kazi ya Mungu-
    Jiandae sasa, kwa kazi ya Mungu-
    Usisite ndugu, kwa kazi ya Mungu-
  3. Tulifurahi leo, na tushangilie - iyelele
    Tucheze pamoja, tuimbe pamoja-
    Tupige na ngome, tucheze na zeze-
    Tupige filimbi, wote tufurahi-
  4. Ni furaha kubwa, tushangilie - iyelele
    Kwa vifijo tele, tumshangilie-
    Kwa ngoma na zeze, tumshangilie-
    Pia kwa filimbi, tumshangilie-
  5. Kwa vigelegele, tumshangilie- Iyelele
    Wanyama na ndege, tumshangilie-
    Milima na mabode, tumshangilie-
    Bahari na mito, tumshangilie iyelele-