Leo Shangwe za Harusi

Leo Shangwe za Harusi
Performed by-
CategoryHarusi
Views3,438

Leo Shangwe za Harusi Lyrics

  1. Leo shangwe za harusi, ni furaha mwaoana *2
    Leo ninyi mwaungana kitu kimoja kwa upendo *2

    Mpendane mtunzane siku zote,
    Muishi kwa amani daima
    (ee na furaha Mungu awajalie watoto) *2 ee

  2. Kama Adamu na hawa mmekuwa kitu kimoja.
    Kama Yesu na kanisa mwaungana kwa upendo.
  3. Ewe kijana shukuru umechagua mzuri
    Msichana shangilia kati ya wote ni wewe.