Nchi Inazizima

Nchi Inazizima
Performed by-
CategoryKwaresma na Toba (Lent & Repentance)
ComposerBernard Mukasa
Views10,493

Nchi Inazizima Lyrics

  1. Yuda akarudi, chukua fedha zenu huyu ni mwema,
    Pilato akakiri hana kosa lakini kamuueni,
    Kainuliwa mtupu na kajeruhiwa sana,
    Amekata roho, nchi inazizima kwa huzuni kuu.

  2. Ona damu, mwili umelowana

    Ona nyama, madonda mwili mzima

    Moyo wake, nao umetoboka.

    Mate yao, yamemfunika uso.
  3. Meno yake, kang'ata kwa uchungu.

    Nafsi yangu, imemjeruhi Yesu

    Dhambi zangu, zikamchomoa roho

    Mungu wangu, nionjeshe uchungu
  4. Ili nife, pamoja naye Kristu

    Mwisho nije, nikafufuke naye