Alidharauliwa na Kukataliwa
Alidharauliwa na Kukataliwa | |
---|---|
Choir | - |
Category | Kwaresma na Toba (Lent & Repentance) |
Composer | Martin M. Munywoki |
Source | St. Paul's Chapel University of Nairobi |
Reference | Isaiah 53 |
Musical Notes | |
Timesignature | 3 4 |
Musickey | G Major |
Notes | Open PDF |
Alidharauliwa na Kukataliwa Lyrics
Alidharauliwa na kukataliwa kukataliwa na watu
Mtu mwenye huzuni nyingi ajuaye sikitiko
1. Alikua mbele zake kama mche mwororo,
Na kama mzizi katika nchi nchi kavu
Hakuwa na umbo kuvutia wala uzuri,
Hata tumwonapo tumtamani
Ni kama mtu ambaye watu humficha uso,
Wala hatukumhesabia kuwa kitu
2. Hakika amechukua masikitiko yetu,
Amejitwika huzuni zetu amejitwika.
Lakini na sisi tulidhani kuwa kapigwa,
Amepigwa na Mungu na kuteswa
Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu,
Alichubuliwa kwa maovu maovu yetu
3. Adhabu ya amani yetu ilikuwa kwake,
Na kwa kupigwa kwake yeye sisi tumepona
Sisi sote kama ko-ndoo tumepotea,
Kila mmoja njia yake yeye,
Bwana ameweka juu yake maovu yetu,
Alione-wa lakini alinyenyekea
4. Alionewa lakini hakufunua kinywa,
Kama mwanakondoo akipelekwa machinjoni
Kwa kuonewa kuhukumiwa kaondolewa,
ni nani atasimulia haya?
Ni nani aliyesadiki habari hii?
na mkono wa Bwana amefunuiwa nani?
Favorite Catholic Skiza Tunes
SMS the Skiza ID to 811 to get the song as your Skiza tune.
Title | SKIZA ID |
Cha Kutumaini Sina | 5814855 |
Roho Yangu na Ikuimbie | 5814859 |
Nikupe Nini Mungu Wangu | 7482438 |
Sasa Wakati Umefika | 7482439 |
Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu Yetu | 7482444 |
Zaeni Matunda Mema | 5814860 |
Huniongoza Mwokozi | 5814856 |
Nitakwenda Mimi Mwenyewe | 7482440 |
Utukuzwe Ewe Baba | 7482441 |
Tazama Tazama | 7482442 |