Alidharauliwa na Kukataliwa
Alidharauliwa na Kukataliwa | |
---|---|
Choir | - |
Category | Kwaresma na Toba (Lent & Repentance) |
Composer | F. B. Mallya |
Source | Tanzania |
Alidharauliwa na Kukataliwa Lyrics
{Alidharauliwa na kukataliwa na watu
Mtu wa huzuni nyingi ajuaye sikitiko } *2
1. Na kama mtu ambaye watu humficha nyuso zao
Alidharauliwa wala hatukuhesabu kuwa kitu
2. Hakika ameyachukua masikitiko yetu
Amejitwika huzuni yetu
3. Lakini tulimdhania kuwa amepigwa
Amepigwa na Mungu na kuteswa
Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu
Amechubuliwa kwa maovu yetu
Favorite Catholic Skiza Tunes
SMS the Skiza ID to 811 to get the song as your Skiza tune.
Title | SKIZA ID |
Cha Kutumaini Sina | 5814855 |
Roho Yangu na Ikuimbie | 5814859 |
Nikupe Nini Mungu Wangu | 7482438 |
Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu Yetu | 7482444 |
Zaeni Matunda Mema | 5814860 |
Sasa Wakati Umefika | 7482439 |
Huniongoza Mwokozi | 5814856 |
Nitakwenda Mimi Mwenyewe | 7482440 |
Utukuzwe Ewe Baba | 7482441 |
Tazama Tazama | 7482442 |