Unavyozidi Kukawia

Unavyozidi Kukawia
Performed byMtoni Choir
AlbumMtazame Mkombozi Msalabani
CategoryKwaresma na Toba (Lent & Repentance)
ComposerBernard Mukasa
Views2,431

Unavyozidi Kukawia Lyrics

  1. Unavyozidi kukawia, kunisaidia Bwana,
    Ndivyo na mimi, ninavyozidi kukutumainia wewe tu *2

  2. Nimejaa dhambi, hivyo nafahamu,
    Sistahili kuhurumiwa nawe
  3. Ningekuwa mwema, ukelele wangu,
    Ungefika masikioni mwako
  4. Ninavyojitahidi kukulilia,
    Ndivyo ninavyozidi kuteseka