Angalieni Nawatuma Kama Kondoo

Angalieni Nawatuma Kama Kondoo
Performed bySt. Cecilia Zimmerman
CategoryInjili na Miito (Gospel)
Views7,157

Angalieni Nawatuma Kama Kondoo Lyrics

  1. { Angalieni mimi nawatuma kama kondoo
    Kati ya mbwa mwitu } *2
    { Msiwe wakali tena muwe na busara
    Hata muwe wapole tena kama njiwa } *2

  2. Angalieni sana haya niwaambiayo ninyi
    Myashike vizuri, mshinde majaribu
    Mpate kuokoka
  3. Muwe wavumilivu na pia wa upendo
    Kama nilivyo wapenda
  4. Roho wa kweli awaongoze
    Mpate kufaulu