Akawanyeshea Mana
| Akawanyeshea Mana | |
|---|---|
| Performed by | - |
| Category | Ekaristia (Eucharist) |
| Views | 6,087 |
Akawanyeshea Mana Lyrics
Akawanyeshea mana, akawanyeshea mana ili wale
Akawapa nafaka ya Mbinguni
Akawapa nafaka ya Mbinguni ili wale- Mambo tuliyosikia na kuyafahamu
Ambayo Baba zetu walituambia
Hayo hatutaficha wana wenu
Huku tukiwaambia kizazi kingine
Sifa za Bwana na nguvu zake - Lakini aliyaamuru mawingu juu
Akaifungua milango ya Mbinguni - Mwanadamu akala chakula cha mashujaa
Aliwapelekea chakula cha kuwashibisha