Misa Subukia
Misa Subukia | |
---|---|
Choir | - |
Category | Misa (Sung Mass) |
Misa Subukia Lyrics
BWANA BWANA UTUHURUMIE
1. Bwana, Bwana, Bwana utuhurumie *2
2. Kristu utuhurumie, Kristu utuhurumie *2
3. Bwana, Bwana, Bwana utuhurumie *2
UTUKUFU JUU KWA MUNGU (SUBUKIA)
{ Utukufu juu kwa Mungu, na amani duniani,
kwao watu wenye mapenzi,
watu wenye mapenzi mema } *2
1. Tunakusifu tunakuheshimu, twakuabudu tunakutukuza
Twakushukuru kwa ajili yako, ya utukufu wako mkuu.
2. Ee Mungu baba ndiwe mfalme,
Mfalme wa Mbinguni baba mwenyezi.
Ee Yesu Kristu mwana wa pekee,
mwanakondoo mwana wa Baba.
3. Uondoaye dhambi za watu tuhurumie tusikilize,
Tuhurumie mwenye rehema maombi yetu uyapokee.
4. Uketiye kuume kwake, Mungu baba tuhurumie.
Kwa kuwa ndiwe pekee yako, Pekee yako Mtakatifu.
5. Pamoja naye roho Mtakatifu, katika utukufu wake
Anayeishi na kutawala, milele yote Amina.
MTAKATIFU (SUBUKIA)
Mtakatifu Mtakatifu Mtakatifu Mungu wa majeshi
Mbingu na dunia zimejaa, zimejaa utukufu wako.
Hosanna hosanna hosanna hosanna juu mbinguni
Mbarikiwa anayekuja anayekuja kwa Jina la Bwana
Favorite Catholic Skiza Tunes
SMS the Skiza ID to 811 to get the song as your Skiza tune.
Title | SKIZA ID |
Cha Kutumaini Sina | 5814855 |
Roho Yangu na Ikuimbie | 5814859 |
Nikupe Nini Mungu Wangu | 7482438 |
Sasa Wakati Umefika | 7482439 |
Nitakwenda Mimi Mwenyewe | 7482440 |
Zaeni Matunda Mema | 5814860 |
Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu Yetu | 7482444 |
Huniongoza Mwokozi | 5814856 |
Utukuzwe Ewe Baba | 7482441 |
Tazama Tazama | 7482442 |