Nimewalisha kwa Unono wa Ngano
| Nimewalisha kwa Unono wa Ngano | |
|---|---|
| Performed by | - |
| Category | Ekaristia (Eucharist) |
| Composer | Stanslaus Mujwahuki |
| Views | 20,300 |
Nimewalisha kwa Unono wa Ngano Lyrics
Nimewalisha kwa unono wa ngano
Na kuwashibisha asali (asali)
Nimewalisha kwa unono wa ngano
Na kuwashibisha asali itokayo mwambani- Nimewalisha kwa kiini cha ngano
Na kuwashibisha asali itokayo mwambani - Katika shida waliniita, waliniita
Katika shida nami nikawaokoa