Nitakusifu Mungu

Nitakusifu Mungu
Performed bySt. Don Bosco Kyaani
CategoryThanksgiving / Shukrani
ComposerFrt. Tailo M
Views6,596

Nitakusifu Mungu Lyrics

  1. { Nitakusifu Mungu(Mungu) Mwenyezi
    Kwa mema mengi Baba unayoyatenda } *4
    { Unastahili sifa milele (Bwana)
    Utukufu na sifa zako milele } *2

  2. Furaha yangu ni kubwa ee Mungu kukusifu kwa nyimbo nzuri na sala
    Unipe neema zako ee Mungu niongoze katika maisha yangu
  3. Mbingu zahubiri utukufu Mungu wangu bila uoga wowote
    Anga yaitangaza kazi ya mikono yako ee Mwenyezi uliye juu
  4. Fadhili zako ni za milele na uaminifu wako haupimiki
    Nitaimba zaburi yako Bwana siku zote za maisha yangu