Kabila Langu
Kabila Langu | |
---|---|
Choir | St. Joseph Cathedral Dar-es-Salaam |
Category | Kwaresma na Toba (Lent & Repentance) |
Composer | Fr. G. F. Kayeta |
Musical Notes | |
Time Signature | 4 4 |
Music Key | C Major |
Notes | Open PDF |
Kabila Langu Lyrics
{ Kabila langu nimekutenda nini
Au nimekusikitisha nini, nijibu, nijibu } *2
-
Kwa kuwa nimekutoa katika nchi ya Misri
Umemtayarishia mkombozi wako msalaba -
Kwa kuwa nimekuongoza jangwani kwa miaka arobaini
Umemtayarishia mkombozi wako msalaba -
Ilinipasa kukutendea nini zaidi nisikutendee
Kweli nimekupenda kama shamba langu nzuri sana -
Mimi nimewapiga Wamisri kwa ajili yako,
Nawe ukanitoa nipigwe mijeredi. -
Mimi nimekutoa Misri, nikamtoa Farao katika bahari ya Sham,
Nawe ukanitoa kwa makuhani wakuu.