Kristu Amekuwa Mtii
| Kristu Amekuwa Mtii | |
|---|---|
| Performed by | St. Joseph Cathedral Dar-es-Salaam | 
| Category | Kwaresma na Toba (Lent & Repentance) | 
| Composer | A Muyonga | 
| Views | 4,249 | 
Kristu Amekuwa Mtii Lyrics
- { Kristu amekuwa mtii kwa ajili yetu, mpaka kufa,
 Hata kufa msalabani, hata kufa msalabani } *2
- Kristu alijinyenyekeza, akawa mtii hata mauti
 Naam mauti ya msalaba
- Kwa hiyo Mungu alimuadhimisha mno,
 Akamkirimia jina lile lipitalo kila jina
- Ninyi mnaomcha Bwana msifuni
 Enyi wote mlio uzao wa Yakobo mtukuzeni
 
  
         
                            