Aleluya Kuu
   
    
     
         
          
            Aleluya Kuu Lyrics
 
             
            
- Aleluya, aleluya, aleluya, aleluya, ale-luya *2
 { Amefufuka alivyosema,
 aleluya, aleluya, aleluya, aleluya } *2
- Amefufuka alivyosema, aleluya aleluya . . . * s/a/t/b
- Siku hii ya Bwana, tukufu,
 Tuifurahie na tuishangilie
- { Kristu amefufuka ni kweli ni kweli ni kweli . . .
 Kristu amefufuka, ni kweli, ni kweli,
 Aleluya aleluya . . . } * [s/a/t/b]
- Amefufuka kaburini, Kristu kafufuka
 Aleluya, aleluya . . .
 Amefufuka alivyosema
 Bwana mfalme mkuu
 Aleluya aleluya . . .
- Amefufuka kweli kweli Bwana mfalme mkuu
 Aleluya aleluya . . .