Ikiwa Twaamini
   
    
     
         
          
            Ikiwa Twaamini Lyrics
 
             
            
- { Ikiwa twaamini ya kwamba Yesu alikufa na kufufuka
 Vivyo hivyo na hao waliolala katika Yesu
 Mungu atawaleta pamoja naye } *2
- Ndugu hatutaki mzijue habari zao waliolala mauti
 Msije mkahuzunika kama wengine wasio na matumaini
- Kwa kuwa twawaambieni haya kwa neno la Bwana
 Kwamba sisi tulio hai tutakaosalia
 Hata wakati wa kuja kwake Bwana
 Hakika hatutawatangulia wao waliokwisha kulala mauti
- Kwa sababu Bwana Mwenyezi atashusha kutoka mbinguni
 Pamoja na mwaliko na sauti ya malaika mkuu
 Na parapanda ya Mungu